MAAJABU YA PETE YA KUOKOTA YALIYOMKUTA HUYU JAMAA… AISEE INAWEZEKANA HATA AKAKATWA KIDOLE

Kijana huyo aliyefahamika kama Eric Buageng, alisema
iliiokota pete hiyo pembeni ya barabara wakati akirudi nyumbani
akitokea Kanisani na kuivaa kwenye kidole cha shahada mkono wa kulia,
lakini cha kushangaza baada ya kufika nyumbani alianza kusikia maumivu
kutokana na pete hiyo kumbana kidole.

Tangu wakati huo jitihada za kujaribu kuitoa pete hiyo zimeshindikana
pamoja na kwenda kwenye Hospitali mbalimbali ikiwemo ya wataalam wa
Jeshi ya 37’ Military na ile ya Korle Bu Teaching bila mafanikio, katika
jitohada za kuhakikisha inatoka alikutana na wachungaji mbalimbali
waliomuombea lakini hakufanikiwa kuitoa.
0 comments:
Post a Comment