Home » » MATOKEO YA KIDATO CHA NNE UFAULU UMEPANDA HADI KUFIKIA ASILIMIA 58.25

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE UFAULU UMEPANDA HADI KUFIKIA ASILIMIA 58.25



Jumla ya watahiniwa laki 235,227 wa kidatu cha nne sawa na asilimia 58.25 ya waliofanya mtihani wa taifa kuhitimu kidatu hicho  kwa mwaka 2013 wamefaulu.

Ambapo Wasichana waliofaulu ni laki 106,792 na wavulana waliofaulu ni laki 128,435. 

Wanafunzi 74,324 sawa na asilimia 21.09 wamefaulu katika madaraja ya I -III.


Jumla ya wanafunzi waliopata daraja la 4 (division 4) ni laki 126,828, wasichana wakiwa 62,841 na wavulana 63,987.
 Shule 10 zilizoongoza ni St.Francis Girls, Marian Boys, Feza Girls, Precious Blood, Canossa, Marian Girls, Abbey
Shule kumi zilizoongoza: Anwarite Girls, Rosmini, na DonBosco Seminary
Zilizofanya vibaya: Singisa, Hurui, Barabarani, Nandanga, Vihokoli, Chongoleani, Likawage, Gwandi, Rungwa, Uchindile

Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog