Mnamo 13 mwezi May jenerali
mmoja wa jeshi alitangaza katika redio ya taifa kwamba rais wa Burundi
amepinduliwa na kwamba serikali ya mpito itabuniwa.Lakini msemaji wa
rais alikana habari hizo akidai kuwa kulikuwa na usaidiz mdogo katika
jeshi kwa mapinduzi kutendeka.Rais Nkurunziza alidaiwa kurudi nchini
Burundi kutoka Tanzania ,lakini imethibitishwa kuwa leo, alishindwa
kufanya hivyo na kwamba yungali nchini Tanzania.
16.10-RNTB yarudisha matangazo
15.50pm-Nkurunziza asema yuko tayari kusamehe
''Ninalishtumu kundi lililopanga mapinduzi'',alinukuliwa akisema.
''Nwashkuru wanajeshi wanaorudisha hali ya kawaida na namsamehe mwanajeshi yoyote ambaye yuko tayari kusalimu amri''.
Lakini baada ya mahojiano hayo kulikuwa na vita karibu na kituo hicho cha habari ambacho kwa sasa kimezimwa.
15.47pm-Ramani ya Burundi
15.45pm-Mji wa Bujumbura
15.30pm-Vyombo vya habari vyazimwa
0 comments:
Post a Comment