Home » »

Edward Lowassa ndani ya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid,tisha mbaya aiseeee.

AW1A0304
Ninayo Ripoti nyingine toka Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid Arusha, watu walianza kuingia toka saa moja asubuhi.
Mbunge Edward Lowassa tayari kaingia Uwanjani, kinachosubiriwa ni hotuba yake.
Kulikuwa na mvua ndogo hivi lakini watu wameendelea kuingia, mpaka sasa hii Uwanja umejaa, watu ni wengi na wapo baadhi ya viongozi mbalimbali ambao tayari wamefika ikiwemo Mzee Kingunge.

AW1A0001
AW1A0006 AW1A0018
AW1A0046 AW1A0082 AW1A0098 AW1A0127
AW1A0129
AW1A0129
DCIM100GOPROG0058361.
DCIM100GOPROG0088366.
DCIM100GOPROG0098367.
DCIM100GOPROG0128370.
DCIM100GOPROG0188376.

AW1A0251
AW1A0252
AW1A0303
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog