Home » »

KWAYA YA FAITH IS ACTION T.A.G MLANDEGE IRINGA WAZINDUA ALBAMU YA DALADALA KWA KISHINDO HUKU MGENI RASMI AKITOA ZAIDI YA MILLION TANO.
Wa kwanza kushoto ni mama maona moja kati ya akinamama wanaoipendezesha kwaya hiyo kwa kucheza jana pia alivunja record ya kucheza.

bishop mkane pamoja na mkewe wakiendelea kufuatilia tamasha kwa umakini zaidi


RISALA KWA MGENI RASMI IKISOMWA NA KATIBU WA KWAYA DENIS KISITU




UMATI WA WATU ULIOFURIKA KATIKA UZINDUZI HUO



MGENI RASMI MWENYEKITI WA CCM MKOA BI JESCA MSAVATAVANGU AKIZUNGUMZA WAKATI WA UZINDUZI HUO.

Askofu wa jimbo la Iringa wa Jonas Mkane akimshukuru mgeni rasmi

Makamu askofu mchungaji Edward Matipa akiomba wakati wa kuairisha uzinduzi huo

Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog