Home » »

breaking newsssssssssss

mwanafunzi wa Ruco aliyechomwa moto afariki dunia
Mwanafunzi (LEMA) aliyejeruhiwa kwa moto
Mwanafunzi ambaye amefahamika kwa Daniel LEMA Alikua akisoma mwaka wa 4 kozi ya sheria katika chuo kikuu kishiriki cha Mt.Augustino Tawi la Iringa (Ruaha University College-RUCO) ambae alichomwa moto wiki iliyopita kwa kuhisiwa mwizi amefariki leo saa 8 mchana
Mwanachuo huyo alilazwa ktk hospitali ya Rufaa ya MKOA wa Iringa kwa matibabu zaidi na mwili wake kuagwa kesho kuanzia majira ya saa moja asubuhi kabla ya kuanza safari kwenda mkoani kilimanjaro kwa mazishi yatakayofanyika siku ya jumatano wiki hii. Hapa chini ni habari iliyoripotiwa awali na mtandao huu

Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog