Home » »

BONYEZA HAPA KUANGALIA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA (FORM SIX) 2014 YALIYOTANGAZWA HII LEO

Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 - 21, yametoka na jumla ya watahiniwa 30,225 sawa na asilimia 85.73 wamefaulu katika madaraja ya I- III.

Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya mtihani kidato cha 6 wamefaulu. 

Wasichana waliofaulu ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825.Watahiniwa waliopata division IV ni 4,420 sawa na asilimia 12.54
 
Watahiniwa waliopata zero (0) ni 612 sawa na asilimia 1.74.

 
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog