Home » »

MAMA MZAZI WA MAREHEMU FANUEL SEDEKIA AFARIKI DUNIA

Marehemu Fanuel Sedekia.
Ikiwa takribani miaka minne tangu kufariki kwa mwanamuziki mashuhuri wa muziki wa injili nchini Fanuel Sedekia huko nchini Israeli alikokwenda na msafara wa mwalimu Christopher Mwakasege kwa ajili ya kutembelea maeneo matakatifu naye mama yake mzazi Eunice Sedekia amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Mount Meru jijini Arusha alikokuwa akipatiwa matibabu.

Kwa mujibu wa taarifa ambazo GK imezipata ni kwamba mama huyo amefariki dunia usiku wa saa tatu hospitalini hapo, ambapo msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Fanuel Sedekia maeneo ya White Rose jijini Arusha.

1 comments:

  1. Tunaiombea familia ya Marehemu Sedekia, Mungu awatie nguvu na uvumilivu na wazidi kumtukuza Mungu kwa maana ni yeye tu mwenye mamlaka juu ya maisha yetu. amna

    ReplyDelete

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog