MWIMBAJI MKONGWE WA GOSPEL NA MWIGIZAJI WA FILAMU TANZANIA JENIFA MGENDI ALI MAALUFU DATI SASA KUJA KIVINGINE NA FILAMU MPYA ,ALBAMU MPYA, AKIWASHIRIKISHA WAIMBAJI WAKONGWE KAMA VILE MCHUNGAJI ABIUD MISHOLI.
JENIFA AKIWA KATIKA POZI![]() | |||||
newz |
Akizungumza na mmiliki wa mtandao huu hivi karibuni mwimbaji huyo amesema kuwa anatarajia kuingiza sokoni muda sio mrefu filamu yake mpya inayokwenda kwa jina la MAMA MKWE Ambapo anasema tafsiri ya filamu hiyo inatokana na wimbo utakao beba jina la albamu yake inayokwenda kwa jina la NDOA NI MGODI.
Katika filamu hiyo amewashirikisha waigizaji mabalimbali wakiwemo BI.ESTA ,CHRISTINE MATAI,BAHATI BUKUKU,SENGA, Pamoja na mkali wa kutengeneza filamu Tanzania Musa Banzi na wengine kibaoooooooooooo
anasema kila kitu kimekamilika soonnnnnnnn itakuwa mtaani jiandae kujipatia copy yako sasa.
0 comments:
Post a Comment