mwimbaji enock jonas katika picha
Ni ujio ,mpya wa mwimbaji wa nyimbo za injili tanzania enock jonas umewatikiza wakazi wa nyanda za juu kusini baaada ya kuja na albamu iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na wakazi hao
akizungumza na mtandao huo mmoja kati ya wakazi wa iringa aliyenaswa na mtandao huu akinunua nakala ya albamu hiyo ya kizunguzungu amesema amevutiwa sana na uimbaji wa mwimbaji huyo huku akimsifia kuwa anatazama wakati tulio nao kwani watu wengi wametawaliwa na imani ya kifremasoni na hawaamini kuwa kuwa yesu ni mtaji anaweza kuwatajirisha na ndani ya albamu hiyo utakutana na nyimbo kali kama vile yesu ni mtaji ,nipe mdundo kizunguzungu na wimbo ambao watu wengi wapendezewa sana nao unaitwa ninafuta maneno yenu
0 comments:
Post a Comment