Home » »

                         KIZUNGUZUNGU YA ENOCK JONAS YAITIKISA IRINGA.
 

mwimbaji enock jonas katika picha


 
Ni ujio ,mpya wa mwimbaji wa nyimbo za injili tanzania enock jonas  umewatikiza wakazi wa nyanda za juu kusini baaada ya kuja na albamu iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na wakazi hao
akizungumza na mtandao huo mmoja kati ya wakazi wa iringa aliyenaswa na mtandao huu akinunua nakala ya albamu hiyo ya kizunguzungu amesema amevutiwa sana na uimbaji wa mwimbaji huyo huku akimsifia kuwa anatazama wakati tulio nao kwani watu wengi wametawaliwa na imani ya kifremasoni na hawaamini kuwa kuwa yesu ni mtaji anaweza kuwatajirisha na ndani ya albamu hiyo utakutana na nyimbo kali kama vile yesu ni mtaji ,nipe mdundo kizunguzungu na wimbo ambao watu wengi wapendezewa sana nao unaitwa ninafuta maneno yenu
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Search This Blog