JAMBO LA KUFANYA USIKU WA KUAMKIA UHURU
Kuliko kujikunja ndani ya mashuka yako kutokana na mvua, ni vema
ukajongea kwenye ukumbi wa huduma ya maombezi na ushauri, BCIC, ambapo
kuna mkesha wa kusifu na kuabudu. Ni sehemu pekee ya kuondoa baridi la
mwilini huku ukimpa nafasi Mungu kutenda mema anayokuwazia. Sote
tukutane huko.
0 comments:
Post a Comment