Home » »

JAMBO LA KUFANYA USIKU WA KUAMKIA UHURU

Kuliko kujikunja ndani ya mashuka yako kutokana na mvua, ni vema ukajongea kwenye ukumbi wa huduma ya maombezi na ushauri, BCIC, ambapo kuna mkesha wa kusifu na kuabudu. Ni sehemu pekee ya kuondoa baridi la mwilini huku ukimpa nafasi Mungu kutenda mema anayokuwazia. Sote tukutane huko.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog