WANANCHI RUKWA WATEKETEZA SHAMBA LINALOMILIKIWA NA KANISA LA EFATHA
Mchungaji kiongozi Michael Meela wa kanisa la Efatha mkoani Rukwa akiongelea kuhusu suala hilo amesema hasara iliyopatikana kutokana na tukio hilo ni zaidi ya shilingi milioni 228 na tukio hilo lilitokea baada ya mbunge wa jimbo la Kwela Mh. Ignas Malocha kuhutubia mkutano wa hadhara kijijini hapo na kuwahamasisha wanachi watumiee nguvu ya umma kuyakomboa mashamba yao yaliyochukuliwa na mwekezaji huyo.
0 comments:
Post a Comment