Home » »

ANNA DAT KUTOKA MOSHI NA YERONIMO MWALO KUTOKA DAR WAITIKISA IRINGA KATIKA SEMINA ILIYOANDALIWA NA HUDUMA YA OVERCOMERS POWER CENTER MJINI IRINGA.
     Anna dat kutoka moshi akimsifu mungu katika semina hiyo.

 yelonimo mwalo mume wa mwimbaji wa nyimbo za injli stera joel akimsifu mungu katika semina hiyo.
wanakwaya ya agape wakimsindikiza bwana mwalo wakati akimtukuza bwana.

katika kutokomeza nguvu za giza uchawi na laana opareshesheni iliyoongoza
wa na askofu wa huduma ya overcomers powercenter ya mjini iringa ambayo imedumu kwa siku thelamini wiki hii kumeshuhudiwa na na semina na kongamano kubwa la kihistoria ambapo mhubiri  kutoka jijini dar professa  ikongo amehudumu sambamba na mwenyeji wake askofu boaz sollo .
miongoni wa mambo makubwa yaliyojitokeza katika semina hiyo ni pamoja na watu kufunguliwa kwa watu waliokuwa wakiteswa na nguvu za giza laana na mikosi ambapo kwa jina la  yesu wote hao wamepokea uponyaji.
semina hiyo ilipambwa na waimbaji kutoka dar na moshi akiwemo yelonimo mwalo pamoja na anna dat kutuka moshi.
semina hiyo inatarajiwa kuisha siku ya pasaka ambapo oparation haribu itakuwa inahitimishwa.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog