Home » »

LIVING WATER YAITEKA SHINYANGA

Huduma ya Living Water Centre Ministry chini ya mtumishi wa Mungu Apostle Onesmo Ndegi yenye makao yake makuu Kawe Jijini Dar es Salaam wikiendi iliyokwisha ilikuwa ikihitimisha mkutano wa Injili katika Kanisa lake Mkoani Shinyanga. 

Semina hiyo ilidumu kwa siku 5 na Apostle Ndegi aliyekaribishwa na mwenyeji wake Mch. Nazareth Manase wa Living Water Centre Shinyanga, Mkutano huo ulio uliohudhuriwa na watu wengi kutoka katika kila kona za mji wa shinyanga kuja kusikiliza Neno la Mungu. 

Katika Mkutano huo waimbaji wa Nyimbo za Injili kama Bahati Bukuku, Mwanakondoo Kwaya ambao ni wenyeji, St. Joseph Kwaya RC, Gosheni kwaya toka Mwanza na Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja Mkandamizaji walikuwepo kuhudumu, kitu kilichotokea kuhusu uwepo wa Masanja Mkandamizaji ni pale watu walipokuja kwa wingi kumuona Masanja lakini ndipo mahala Bwana Yesu alipo wakamatia na Kumpa maisha yao kuokoka.
Add caption

Kwa siku tano za mkutano huo waliokoka watu wengi wadogo kwa wakubwa, wake kwa waume Pia maombezi na ushauri vilifanyika katika wale waliokuwa wanahitaji msaada zaidi maana ilionekana kwa asilimia kubwa watu wengi wamevamiwa na nguvu za giza hasahasa watoto
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog