Home » » VIDEO: Madai yaliyoibuka ndani ya CUF kuhusu wizi wa fedha

VIDEO: Madai yaliyoibuka ndani ya CUF kuhusu wizi wa fedha

Wakati mgogoro ndani ya chama cha wananchi CUF ukiwa haujamalizika na suala hilo kuwa bado lipo mahakamani, leo January 10 2017 Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi, Julius Mtatiro amekutana na waandishi wa habari na kutoa kueleza kuwa chama hicho kimeibiwa fedha za ruzuku kiasi cha Tsh Milioni 369.37.
Mtatiro ameeleza kuwa fedha hizo zilitoroshwa kutoka hazina ya serikali kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania January 05 2017 na kuingizwa kwenye akaunti yenye jina la The Civic United Front ambapo anasema akaunti hiyo haikuwahi kuiidhinishwa na Bodi ya wadhamini ya CUF ili ipokee ruzuku kutoka Serikali Kuu. Unaweza kubonyeza play hapa chini.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog