Home » » AUAWA KWA KUKATWA NA KITU CHENYE NCHA KALI NA KUKATWA KIGANJA CHA MKONO WA KULIA

AUAWA KWA KUKATWA NA KITU CHENYE NCHA KALI NA KUKATWA KIGANJA CHA MKONO WA KULIA




NA DENIS NYALI

IRINGA

Mtu mmoja amelipotiwa kufaliki dunia mkoani iringa huku wengine wakishikiliwa najeshi la polisi kwakukutwa na nyara za serikili

Akithibitisha kutokea kwa matukio hayo  kamanda wa polisi mkoani iringa ACP ramadhani mungi amesema kuwa tukio la kwanza limetokea katika kijiji cha lyamuko kilichipo kata ya boma la ng’ombe wilaya ya kilolo mkoani iringa.

 ambapo amemtaja mtu mmoja anaye fahamika kwa jina la pakton mgwilanga (80) mkulima mkazi wa kijiji cha lyamuko ameuwawa kwakukatwa na kitu chenye ncha kali kwenye paji lake la uso na kukatwa kiganja cha mkono wake wa kulia.

Aidha  kamanda mungi amewataja watuhumiwa wa tukio hilo kuwa ni mjuto mgwilanga (36) mtoto wa marehem na Erick mhenzi (25) mjukuu wa marehem  watuhumiwa wanatafutwa na jeshi la polisi huku chanzo cha tukio hilo kikiwa ni ugomvi wa mashamba.

 

Wakati huohuo askari wa  hifadhi wanyama pori ya ruaha wakiwa doria wamewakamata ADAM ISSA mkazi wa kihesa KENETH MZENGO (46) na EWALO NZABILO (28)wakiwa na meno ya tembo yenye uzito wa kilo 3.5 watuhumiwa wamekamtwa


xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog