Home » »

HABARI PICHA: KILICHOTOKEA KANISA KATOLIKI PAROKIA YA MTAKATIFU JOSEPH, ARUSHA


Wananchi wakikimbia kuelekea barabarani kutoka Kanisa katoliki, Parokia ya Mtakatifu Joseph iliyokuwa izinduliwe jana na balozi wa kiongozi wa kanisa katoliki duniani, Papa Benedict, Askfou Francisco Montecillo Padilla.
Sehemu ya mbele ya kanisa katoliki Parokia ya  Mtakatifu Joseph, Olasiti, Arusha.
Huzuni ikiwa imetanda kwa masista kanisani hapo.

Askari Polisi wakichukua sampuli eneo la tukio.
Wapelelezi wakiendelea na kazi yao eneo la tukio.

vikosi vya kila aina, ndani ya uniofrm na bila uniform.
Ufute wa polisi ukizungushiwa kuzuia watu kuingia eneo la tukio.
Taswira ya ndani ya kanisa hilo jipya,
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Search This Blog