Home » » YOUTH ALIVE CHOIR CCT MKWAWA WAZINDUA ALBAMU YAO YA PILI YA NJOONI TUKARIBIE KITI CHA REHEMA

YOUTH ALIVE CHOIR CCT MKWAWA WAZINDUA ALBAMU YAO YA PILI YA NJOONI TUKARIBIE KITI CHA REHEMA

Wanakwaya ya youth alive kutoka cct mkwawa baada ya kutamba na albamu ya gusa  ambayo wametambanayo kwa miaka miwili hatmaye siku ya jumapili ya tare 7.4 .2013 katika ukumbi wa ruco mkoani iringa na hizi ni baadhi ya picha ambazo zilipigwa siku ya tukio
             hope kwaya kutoka cct ruco wakiendelea kumsifu mungu
                            thisdaso kwaya kutoka mkwawa wakiendelea kuimba
                                   mwenyekiti wa youth alive akisoma risala
                                        victor andrew papa akizungumza jambo


                               ebenezer mgidange on stage
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Search This Blog