Home » » MWALIMU WA SHULE YA MSINGI UGANGA YA MAKETE MKOANI NJOMBE ASHINDA LAKI NANE KATIKA DROO YA NMB.

MWALIMU WA SHULE YA MSINGI UGANGA YA MAKETE MKOANI NJOMBE ASHINDA LAKI NANE KATIKA DROO YA NMB.

hili ndilo gurudumu la bahati na sibu. 


meneja wa benki ya nmb tawi la iringa  kulia pichani akifurahia jambo


meneja wa nmb akimtambulisha mshindi kutoka makete aliyeingia kwenye droo.



baadhi ya wafanyakazi na wateja wa nmb.




na denis nyali.
shindano la pata patia linaloshindanishwa na benk ya nmb nchini hii leo limeendelea baada ya mshindi mmoja kuibuka kwa kujinyakulia laki nane.
akizungumza kuhusu shindano hilo meneja wa benki ya nmb tawi la iringa sumka mbuba amesema katika mkoa wa iringa kulikuwa na washindi wa tatu ambao wa ni miongoni mwa washindi 24 wa nchi nzima
katika shindano hilo lilifanyika katika benki ya nmb tawi la iringa yuda kiluswa mwalimu wa shule ya msingiuganga wilaya yamakete mkoa wa njombe ameibuka mshindi kwa kujinyakulia laki nane .
akizungumza mara baada ya kushinda fedha hizo kiluswa ameishukuru benki ya nmb na kuahidi kuziwekeza katika kupanda miti.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog