Home » » BON MWAITEGE AJA NA KITU KIPYA CHA DAKIKA 45 SOMA MWANANGU AKISHIRIKIANA NA BAHATI BUKUKU

BON MWAITEGE AJA NA KITU KIPYA CHA DAKIKA 45 SOMA MWANANGU AKISHIRIKIANA NA BAHATI BUKUKU


Mwanzoni mwa wiki hili mwanamziki wa nyimbo za injili bon mwaitege amesikika redioni kuwa anatarajia kuja na ujio mpya baada ya kutamba na albamu ya mama ni mama sasa amekuja na wimbo ambao unajulikana kama {soma mwanangu} akiwa ameshirikiana na bahati bukuku,
akizungumza na gospel za iringa na habari bon amesema kuwa wimbo huo ambao umelenga zaidi kwa upande wa elimu ameuandaa ili watanzania hususa wanafunzi watambue umhimu wa elimu katika nyakati za sasa,
aidha bon amesema kuwa video ya wimbo huo inatarajia kukamilika ndani ya wiki mbili zijazo ikiwa na dk 45 hivyo wanainchi wajiandae kuipokea.

Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Search This Blog