UZINDUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE CHALINZE WAFANA
Wananchi waliojitokeza katika mkutano huo wakiwa wamebeba Picha za mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CCM Bw. Ridhiwani Kikwete.Malkia wa muziki wa Taarab kutoka kundi la TOT Khadija Omar Kopa kulia akiongoza kundi hilo wakati lililpokuwa likitumbiza katika mkutano huo leo.Marafiki mbalimbali wa mgombea ubunge wa jimbo la Chalinze kupitia CCM Bw. Ridhiwani Kikwete waliojitokeza katika mkutano huo wakinyanyua juujuu mabango yenye picha zaRidhiwani Kikwete.Cheki hili nyomiMama Salma Kikwete Mke wa Rais na mjumbe wa Halimashauri kuu kutoka mkoa wa Lindi kulia, Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katikati na mgombea ubunge wa jimbo la Chalinze kupitia CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete wakiondoka eneo la Mkutano mara baada ya kumalizika.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katikati, Nape Nnauye Katibu wa Itikadi, Siasa na Uenezi na Ridhiwani Kikwete wakitembea kwa miguu kuelekea eneo la mkutano uliofanyika viwanja vya Polizi mjini Chalinze leo.
0 comments:
Post a Comment