Home » » MMOJA AFARIKI DUNIA NA NG'OMBE 22 WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUPIGWA NA RADI.

MMOJA AFARIKI DUNIA NA NG'OMBE 22 WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUPIGWA NA RADI.

Kamanda wa polisi mkoa wa iringa.





Mtu mmoja amefariki dunia kwa kupigwa na radi wakati akichunga ng’ombe katika kijiji cha kibena Wilaya ya Iringa vijijini.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi mkoani IRINGA ACP RAMADHAN MUNGI amesema mtu huyo alietambulika kwa jina la ZAKARIA KIBUGA alifariki papo hapo baada ya kupigwa na radi hapo jana majira ya saa 10 jioni.
Aidha radi hilo pia limesababisha vifo vya ng’ombe 22 wenye thamani ya shilingi milioni 44 mali kampuni ya EFAS FARM LIMITED.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog